Pata orodha kamili ya vyama vya siasa
Karibu katika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Kisiasa (ORPP) ni afisi ya serikali iliyoanzishwa chini ya Kifungu cha 260 cha Katiba ya Kenya, 2010, na Sheria ya Vyama vya Kisiasa, 2011. Majukumu ya ofisi hiyo, miongoni mwa mengine ni kudhibiti uundaji, usajili, na ufadhili wa vyama vya siasa kwa mujibu
Maono
Mdhibiti mfano wa vyama vya siasa kwa mfumo wa vyama vingi vya kidemokrasia unaoaminika
Misheni
Kukuza utimilifu wa haki za kisiasa kupitia usajili na udhibiti wa vyama vya siasa nchini Kenya
Mamlaka
Kusajili na kudhibiti vyama vya siasa na kusimamia Mfuko wa Vyama vya Siasa
Habari na Taarifa za Hivi Punde
A collaboration between Ngarisha Dada CBO, ORPP Uasin Gishu office, Lions club Eldoret, and Hon. Regina Chumba, who is a nominated MCA representing PWDs in Uasin Gishu County Assembly
On 8th August, 2025, ORPP-Uasin Gishu office joined stakeholders in a CSR engagement to support underprivileged children at Jawabu Rehabilitation...
Soma zaidiORPP Deepens Stakeholder Engagement with Embassy of the People’s Republic of China
Registrar of Political Parties, Ms Sophia Sitati, held deliberations with Counselor Sun Yinam and Xie Zheng, Third Secretary at the Embassy...
Soma zaidiWYDE East Africa Regional Conference
From 4th to 6th August 2025, the Women and Youth in Democracy (WYDE) East Africa Regional Conference was held at...
Soma zaidi